Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia kituo cha mazao na misitu cha maliasili kilichopo kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya ya Mkuranga na Kibiti na kukichoma moto kisha kuwaua watu watatu akiwemo mpelelezi mkuu wa wilaya ya Kibiti mkoani pwani Afande Peter Kubezya.Watu watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wilayani Kibiti | |
| 23 Likes | 23 Dislikes |
| 13,737 views views | 207,451 followers |
| Education | Upload TimePublished on 22 Feb 2017 |
No comments:
Post a Comment