Msanii anayepamba video za wasanii wa muziki wa Bongo Fleva video queen, Agnes Gerald maarufu Masogange amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, Dar es Salaam, akikabiliwa na mashitaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya heroin diacety na oxazepam.Msanii anayepamba video za wasanii wa muziki wa Bongo Fleva Agnes Gerald Masogange apandishwa kizimb | |
| 3 Likes | 3 Dislikes |
| 2,479 views views | 207,451 followers |
| Education | Upload TimePublished on 22 Feb 2017 |
No comments:
Post a Comment