
Jeshi la polisi mkoani Kagera limeanza msako maalumu katika maeneo mbalimbali yaliyoko mkoani humo wa kuwatafuta wafanyabiashara wanaoendelea kukaidi maelekezo ya serikali kwa kuficha pombe iliyojazwa kwenye mifuko ya plastiki maarufu kwa jina la viroba ambavyo vimepigwa marufuku hapa nchini kuanzia machi,1 mwaka huu kwa lengo la kuiuza kwa watumiaji kinyemela.
Jeshi la polisi mkoani kagera laanza msako kuwatafuta wafanyabiashara wanaokaidi katazo la kuuza vir |
| 1 Likes | 1 Dislikes |
| 702 views views | 207,451 followers |
| Education | Upload TimePublished on 7 Mar 2017 |
No comments:
Post a Comment